Ndege nyuki (drone) yenye namba za usajili 5H-25038 kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), ambayo ni maalum kwa ajili ya kudhibiti uvuvi haramu ikiwa angani kwa mara ya kwanza baada ya kuzinduliwa rasmi Aprili 13, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Vyeti kwa mnufaika wa Mradi wa pili wa ukopeshaji Boti za Kisasa wakati wa Uzinduzi wa Mradi huo mkoani Tanga Februari 26, 2025.
Serikali imewawezesha wanawake wanaojishughulisha na Uvuvi mitaji ya kuendeleza shughuli zao
Zao la Mwani mbali na bidhaa zake kuwa na manufaa kwenye afya ya mtumiaji limekuwa mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima waliopo ukanda wa Pwani ya Bahari ya Hindi.
Ukaushaji wa mazao ya uvuvi kwa kutumia teknolojia ya "Solar tent" ni moja ya njia zinazohamasishwa na Serikali kwa wadau wa Uvuvi ili kulinda na kuongeza thamani ya mazao hayo pindi yanaposafirishwa nje ya nchi.
Our Leadership Team
Minister for Livestock and Fisheries
Hon. Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji (Mp)
Deputy Minister of Livestock and Fisheries
Hon Alexander Pastory Mnyeti (Mb)
Permanent Secretary for Livestock and Fisheries Sector
Prof Riziki S Shemdoe
Deputy Permanent Secretary for Livestock and Fisheries Sector (Livestock)
Mr Abdul Mhinte
Deputy Permanent Secretary for Livestock and Fisheries Sector (Fisheries)